Thursday, October 13, 2016

Corazon Kwamboka has been off headlines for this few days,,,wat a killing photos???

Voluptuous socialite the learned Corazon Kwamboka has been off headlines for a time.

However, she sure has mastered the art to get people talking and drooling again. While she has been busy selling of her clothes from her store, she decided to stir thing up and talking about her working out problems provided the perfect pretext.

Corazon steeped out in her usual tight fitting outfits to state her dilemma of working out which leaves her waist thinner but her hips and thigh meat just the same. She even went ahead to reveal her measurements. However, so tight was the outfit, no one was concentrating on the measurements but her bulging cookie which was outlines so prominently.

The team mafisi troupe had many of its representatives commenting and no one offering advice aside from pleading that she loses none of her thigh meat. Here is the photo which very got the lass back in the riding seat.

"The results of dieting! 😩😩😩! My waist becomes extremely small and my hips stay the same! Problem is, I most importantly want to get rid of some thigh fat. 
Hips; 55
Waist;26
Bust; 38"
  

Wednesday, October 12, 2016

Mayweather avunja pigano na mpiganaji Conor Mc Gregor

Bondia Floyd Mayweather ambaye amestaafu, amesema kuwa pigano kati yake na mpiganaji Conor Mc Gregor halitofanyika.
33f3b9f400000578-3584787-image-a-14_1462971677202
Bingwa huyo wa mizani mitano tofauti wazamani, mwenye umri wa miaka 39 alisema mapema mwaka huu kwamba angependa kupigana na nyota huyo wa Ireland.
”Nilijaribu kuona pigano hilo linafanyika,lakini hatukuweza kwa hivyo tunasonga mbele”.Mayweather aliambia FightHype.com.
”Nafurahia kuwa na heshima kubwa katika masumbwi na wala sipigani tena”.
McGregor awali alikuwa amesema kuwa alivutiwa na pigano hilo ,lakini ilitarajiwa kuwa Mayweather angetafuta kiasi cha fedha anazotaka ili pigano hilo lifanyike

Jengo Jipya La Julius Nyerere Lazinduliwa Na Kansela Angela Merkel, Ethiopia

ADDIS ABABA, Kansela Angela Merkel wa Ujerumani leo amezindua jengo jipya la amani la Umoja wa Nchi za Kiafrika (AU) lililopewa jina la Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
angela-merkel-africaKansela Merkel na Nkosazana Dlamini-Zuma.
Jengo hilo lililojengwa kwa msaada wa Serikali ya Ujerumani na kujengwa na Kampuni ya Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ) lipo kwenye makao makuu ya AU yaliyopo jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Akizindua jengo hilo mbele ya Rais wa AU, mwanamana Nkosazana Dlamini-Zuma, Kansela Merkel amesema:
“Ni lazima sasa AU iingilie na kuweka sawa hali ya usalama nchini Libya. Nipo tayari kutoa mchango wangu kwenu ili kuhakikisha hali ya kiusalama inaimarika Libya na nchi nyingine zenye migogoro.”
KWA NINI LIMEPEWA JINA LA JULIUS NYERERE?samora_nyerere_kaundaNyerere (katikati), Kaunda (kulia) na Samora Michelle (kushoto).
Julius Nyerere ni kielelezo cha uhuru wa Afrika, alichangia kupatikana kwa uhuru wa nchi nyingi Kusini mwa Jangwa la Sahara zikiwemo Zimbabwe, Zambia, Namibia, Afrika Kusini na Angola.
Alisimamia na kufanikisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania, muungano ambao umedumu mpaka leo.
nyerere_tanganyika_zanzibar_union…Akisimamia zoezi la kuchanganya udongo kama ishara ya muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, 1964.
Alisimamia mazungumzo ya amani ya nchi zenye migogoro barani Afrika.
Wazo la kulipa jina la Mwalimu Julius Nyerere jengo hilo, lilianzia kwenye kikao cha kamati ya amani ya AU iliyokuwa chini ya uenyekiti wa Peter Katjavivi ambaye kwa sasa ndiye Spika wa Bunge la Namibia.
Walipendekeza wazo la kuyapa majina maeneo maarufu ya ukombozi yaliyosimamiwa na Nyerere nje ya Tanzania na kwa kuanza waliyapa majengo ya ukombozi jijini Harare, Zimbabwe jina la Mwalimu Julius Nyerere.
Kwenye sherehe hiyo iliyofanyika jijini Harare, mgeni rasmi alikuwa Benjamin William Mkapa, Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.
Akizungumza kwenye kongamano hilo, Mkapa alisema:
benjamin-mkapa1-607x420Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa.
“Tunafahamu umuhimu wa historia kwa jamii yetu, siyo kwa wapinzani wetu tu na wafuasi wao bali kwa wote waliosimamia ukombozi wa bara letu.
“Mwishoni mwa miaka ya sabini, tulipokuwa na uhakika wa nchi zetu kupata uhuru, ikiwa ni pamoja na kutumia uhuru huo kujikwamua kiuchumi na kuwa kama wao, juhudi kubwa zilifanywa na viongozi wetu ambao pamoja na vitisho walidhamiria kushinda.
“Kuyapa majengo haya jina la Nyerere ni dhahiri mchango wake wa kupambana na ukoloni uko wazi na unatambulika hata nje ya Tanzania ikiwemo hapa Harare.”
Baada ya hotuba ya Mkapa, Mkurugenzi wa Amani wa Ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara, Phyllis Johnson alisema wanajivunia kuwa sehemu ya mawazo ya Mwalimu Nyerere na kupendekeza jengo jipya la amani liitwe kwa jina la Nyerere.
Wazo hilo lilipelekwa kwenye mkutano mkuu wa AU mwaka 2015 ambapo wajumbe wote waliunga mkono makao hayo kuitwa jina la Mwalimu Julius Nyerere. Hatimaye leo limezinduliwa rasmi na kuitwa jina la Mwalimu Julius Nyerere.

Tuesday, October 11, 2016

PICHA YA LEO...! BEYONCE AAIBIKA JUKWAANI ....

   
 Picha hii ilichukuliwa na mpiga picha wakati beyonce a.k.a lady diva akiwa akipiga show......
Hii inawahusu hasa wasanii wa kibongo ambao wanaiga kila kitu...
mfano yule mwanafunzi wa chuo aliyepiga piga picha ya utupu akijifananisha na Rihanna...kwa story hiyo

MWANAFUNZI WA CHUA APIGA PICHA YA "UTUPU" ILI AFANANE NA RIHANNA...JE HII NI SAHII....?

Huyu ni mwanafunzi wa chuo(jina kapuni) aliyehamua kupiga picha ya utupu ili afanane na Rihanna Katika pozi...

Mwanafunzi Huyu ambaye yeye Binafsi anapenda kujifananisha na mwanamuziki asiyeishiwa na skendo Rihanna alifikia uhamuzi wa kujimulika na kamera na hatimaye kuficha....Ila ckuzote maovu ayajifichi.....

Monday, October 10, 2016

MAKASA...."JOGOO WA MUME WANGU HASIMAMI MWAKA WA TANO SASA,HATUNA MTOTO MPAKA SASA....NIFANYEJE JAMANI?"...NAOMBENI USHAURI...!!

Habari, 
Nina rafiki yangu ameolewa miaka 5 iliyopita kabla ya kuolewa alikuwa na mtoto mmoja,shida aliyonayo ni kwamba toka aingie kwenye ndoa mume wake hasimamishi kabisa,hivyo hutumia ulimi na kuuingiza kwenye uke ili amridhishe mkewe.

kipindi cha mwanzo mke alivyomuuliza kama anatatizo akadai ni mawazo tu kwan akili yake asilimia kubwa inawaza amuandaliaje mkewe maisha.

 
Mke akaendelea kuvumilia sasa imefikia hatua kadai kachoka upande wa kiume hawamtaki wanadai hazai anajaza choo,hilo halimuumiz sana ingawa anapenda kuzaa ila kubwa linalomshinda kuendelea na ndoa ni kutopata haki yake ya msingi tendo la ndoa.

Imefikia hatua mume kalidhika na hayo maisha hana dalili ya kutafuta ufumbuzi kila akimshauri anapuuza tu.